Genesis 17:11-12

11 aMtafanyiwa tohara na hii itakuwa ni alama ya Agano kati yangu na ninyi. 12 bKwa vizazi vijavyo, kila mwanaume miongoni mwenu mwenye siku nane ni lazima atahiriwe, pamoja na watakaozaliwa nyumbani mwako au walionunuliwa kwa fedha kutoka kwa mgeni, wale ambao sio watoto wako.
Copyright information for SwhKC